Friday 26 January 2018

Joel Ngito Safari Lyrics

Chorus
Bado sijafika pale
Safari ni ndefu kwangu
Bado sijafika pale
Taratibu mwendo kwangu
Sisikize wale
Wana nia kukuzamisha
Kaza mwendo wako aaeh
Aaeh aaeh aah aah aaaah

Verse 1
Shukrani zangu kwa walo kando yangu
Walo nipa motisha vitu kwangu japo baya
Tenda wema kisha nenda nenda zako
Fanya kazi utavuna upandacho
Moyo wangu kapenda dawa kupa nyi muziki
Japo zuri baya kwangu hii ni safari yeah yeah
Macho yangu mbele kando mi siangili
Nachapa kazi mie muziki kwangu ni baraka

Chorus
Bado sijafika pale
Safari ni ndefu kwangu
Bado sijafika pale
Taratibu mwendo kwangu
Sisikize wale
Wana nia kukuzamisha
Kaza mwendo wako aaeh
Aaeh aaeh aah aah aaaah

Matunda matamu huja kwa bidii yako
Panda shuka ni kawa... kawaida ya safari
Sife moyo aaah asubuhi itafika
Usiku mrefu mwishowe jua litawaka
Vijana vitabu vichambueni shuleni
Uongozi mwema huja kwa hekima
Sife moyo aah asubuhi itafika
Chochote ufanyacho weka Mola Mungu Baba

Chorus
Bado sijafika pale
Safari ni ndefu kwangu
Bado sijafika pale
Taratibu mwendo kwangu
Sisikize wale
Wana nia kukuzamisha
Kaza mwendo wako aaeh
Aaeh aaeh aah aah aaaah

Verse 3 {Banembe Jeremie}

I keep my eyes on the prize yeah
Never losing psyche never losing focus yeah
Nakazana
Ata jua uleta mvua wacha iwake tu iwake
Lakini kesho itakuwa sawa sawa sawa leleee yeah yeah
Ten thousand hours never letting go
Never giving up you're too close to the finish line
Kaza mwendo (kazana) kazana kazana
Kaza mwendo wako kazana kazana

Chorus
Bado sijafika pale
Safari ni ndefu kwangu
Bado sijafika pale
Taratibu mwendo kwangu
Sisikize wale
Wana nia kukuzamisha
Kaza mwendo wako aaeh
Aaeh aaeh aah aah aaaah